Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wazazi Taifa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hatibu Mgeja, leo Juni 30, 2025, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho ili kuwania nafasi ya Udiwani katika Kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyanga.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wazazi Taifa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hatibu Mgeja, leo Juni 30, 2025, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho ili kuwania nafasi ya Udiwani katika Kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyanga.