Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camilius Wambura anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE – RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.
Ili kusoma majina ya walioitwa kwenye Usaili tumia kiunganishi hiki https://polisi.go.tz/