Dodoma. Serikali imesema baada ya Mfuko wa Pesheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kufanya uchambuzi wa madai hayo kilichokuwa kiwanda cha Nguo cha Sunguratex imeonekana kuwa wafanyakazi hao walishalipwa mafao kikamilifu.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi leo Februari Mosi, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa.
Slaa alitaka kufahamu ni lini Serikali itawalipa mafao waliokuwa wafanyakazi wa viwanda vya Kiltex na Sunguratex Gongolamboto.
Akijibu Katambi amesema, kuanzia mwaka 1989 Serikali kupitia mifuko ya NSSF na uliokuwa PPF iliwalipa mafao waliokuwa wafanyakazi wa viwanda vya Kiltex na Sunguratex Gongolamboto baada ya ukomo wa ajira zao.
Hata hivyo, amesema Aprili mwaka 2022 mfuko wa PSSSF ulipokea malalamiko ya waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda Sunguratex wapatao 644 wakidai kuwa hawakulipwa mafao yao kikamilifu na uliokuwa mfuko wa PPF.
Every weekend i used to visit this website, as i want enjoyment, for the reason that this this web
page conations actually good funny information too.
Thanks , I have recently been looking for info
about this topic for ages and yours is the best I have discovered so far.
However, what in regards to the conclusion? Are you sure in regards
to the source?
Very descriptive blog, I enjoyed that bit. Will there be a
part 2?
I was suggested this website by my cousin. I am not sure whether this post is
written by him as no one else know such detailed about my problem.
You’re amazing! Thanks!
Wow that was odd. I just wrote an extremely long comment but
after I clicked submit my comment didn’t show up. Grrrr…
well I’m not writing all that over again. Anyhow,
just wanted to say great blog!
I think this is among the most vital information for me.
And i’m glad reading your article. But want to remark on few general things, The site style is perfect, the articles
is really nice : D. Good job, cheers
Hi there to all, how is everything, I think every one
is getting more from this site, and your views are pleasant designed for new viewers.
Thanks to my father who told me about this website, this website is truly amazing.